Dhana kwamba rais wa marekani Donald Trump ametumia vibaya madaraka yake, zinazidi kuhanikiza nchini Marekani// Serikali ya Venezuela imesema jana kwamba itapeleka vikosi katika ukanda unaokabiliwa na machafuko// Uchunguzi unafanyika katika gereza kuu la mjini Kinshasa-Kongo ilikufahamu idadi ya wafungwa waliotoroka na madhara yaliosababishwa na shambulio la hapo jana.