1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.04.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S18 Aprili 2017

Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May leo ametangaza kuitisha uchaguzi na mapema ifikapo Juni 8// Chama kikuu cha upinzani nchini Uturuki kimetuma maombi ya kutaka kura ya maoni ya mageuzi ya katiba ibatilishwe// Serikali ya Tanzania imekuwa ikifanya juhudi za kuimarisha usalama katika wilaya za mkoa wa Pwani za Rufiji na Kibiti, ambapo mauaji yamekuwa yakifanyika.

https://p.dw.com/p/2bRoy