1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.03.2020 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S18 Machi 2020

EU kuwazuia wasafiri wa kigeni ili kukabiliana na COVID-19 / Ujerumani: Kumekuwa na makatazo mapya kila kukicha, pamoja na kubanwa uhuru wa kila mtu. Njia rahisi kwa kila mmoja ni kufuata sheria. Hali hii itaendelea hadi lini?/ Waziri Mkuu wa Pakistan anahofu kuwa virusi vya Corona vitaathiri uchumi wa nchi zinazoendelea

https://p.dw.com/p/3Zccs