Umoja wa Mataifa: Raia wapatao 300 wameuawa katika mashambulizi ya kaskazini magharibi mwa Syria/ Iran: Wanaharakati wa Mazingira wafungwa jela/ Hali ya kisiasa nchini Tanzania > Mahojiano/ Baada ya kutolewa taarifa ya kufariki kwa njia ya utata kwa mwanamuziki kwa jina Kizito Mihigo nchini Rwanda, jamii ya Wanyarwanda imekuwa ikijiuliza masuali mengi kuhusu kifo hicho