Israel, Iran zashambuliana Mkutano wa Usalama wa Munich/ Ujerumani yajadili kuwarejesha nyumbani wapiganaji wa IS kutoka Syria/ Mahasimu Yemen wakubaliana kuondoa wapiganaji Hodeida/ Kenya na Somalia: Mgogoro mpya kuhusu mpaka wa eneo la bahari umeanza kuibua masuali kuhusu uhusiano wa mashaka kati ya washirika hawa wawili wa vita dhidi ya ugaidi