1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.12.2020 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S17 Desemba 2020

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameambukizwa virusi vya corona// Takriban wanafunzi 100 hawajulikani walipo, Congo// Mahakama ya Juu ya Umoja wa Ulaya imetoa uamuzi leo Alhamisi kwamba Hungary imevunja sheria kwa kuwazuia wahamiaji wanaoingia nchini humo haki ya kutafuta hifadhi// Barnier: Mazungumzo ya Brexit yanaelekea pazuri.

https://p.dw.com/p/3msJn