Rais mteule wa Marekani Joe Biden punde atakapoingia madarakani huenda atachukua mbinu ya rais Donald Trump ya kutumia vikwazo katika mambo mbalimbali anayotaka kuyatekeleza// Miaka 10 iliyopita mchuuzi wa mboga, Mohamed Bouazizi alijichoma moto kwenye mji wa Sidi Bouzid nchini Tunisia// Vizuizi vilivyowekwa na serikali duniani kupambana na virusi vya corona vimezidisha mbinyo kwa haki za kiraia.