Maaskofu wa kanisa Katoliki nchini Kenya wamewataka Ruto na Kenyatta kuzika tofauti zao kufuatia uhasama wa miezi mingi+++Viongozi wa majimbo wataka kumalizwa kwa mgogoro wa kimamlaka Somalia+++Wakuu wa mataifa ya kanda ya Afrika Magharibi wametangaza vikwazo dhidi ya viongozi wa mapinduzi nchini Guinea+++Urusi imeanza zoezi la upigaji kura katika uchaguzi wa wawakilishi 450 wa bunge la Duma.