Urusi na Uturuki kuendelea kujadili Syria/ Rwanda: Victoire Ingabire ameachiwa huru mwishoni mwa wiki kutokana na amri ya rais Kagame. Katika mahojiano na DW ameelezea matumaini ya kuiona Rwanda ikifinua milango kwa vyama vyengine vya kisiasa/ Nchini Kenya leo kuimeibuka mkasa wa kufichwa miili ya watoto wachanga katika boksi/ Wakuu wa kupambana na mihadarati Afrika wakutana Tanzania