Je, kweli von der Leyen atafanikiwa kutimiza ahadi zake?/ Ujerumani: Kansela Merkel kutimiza miaka 65 tangu kuzaliwa/ Mawaziri wa fedha kutoka kundi la mataifa saba tajiri zaidi duniani wameanza mazungumzo/ Raia wa miji miwili ya Goma na Gisenyi katika nchi jirani ya Rwanda wamezitaka serikali zao kuongeza vifaa vya uchunguzi wa homa ya Ebola kwenye mipaka ili kuzuia kuingia kwa homa nchini Rwanda