Mkutano wa kilele kati ya rais Donald Trump wa Marekani na mwenzake wa Urusi Vladmir Putin umemalizika huko Helsinki/ Mkutano wa kila mwaka wa kilele kati ya China na Umoja wa Ulaya/ Kenya: Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama amefungua kituo cha vijana pamoja na kutembelea kijiji cha Kogelo alipozaliwa na kuzikwa baba yake mzazi/ Eritrea imefungua tena ubalozi wake nchini Ethiopia