1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.06.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S17 Juni 2019

Mataifa ya Afrika Mashariki yahofia Ebola/ Kenya: Rais Kenyatta amekisuta kikundi kinachoegemea upande wa siasa wa naibu wake Ruto cha Tangatanga na kuwataja kuwa wahalifu wanaopiga siasa, badala ya kutimiza ahadi walizotoa kwa wananchi/ Burundi: Makao makuu ya chama cha upinzani cha CNL yamechomwa moto na watu wasio julikana/ Nchi zenye silaha za nyuklia zinazifanya za kisasa zaidi: SIPRI

https://p.dw.com/p/3Ka4j