Maafisa wakuu wa upelelezi wa majeshi ya Rwanda na Uganda wamefikia makubaliano ya ushirikiano wa karibu/ Tanzania: Chama kikuu cha upinzani kimemshtumu rais Samia Suluhu Hassan kuhusika katika kuwarudisha bungeni wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho ambao walifutiwa uanachama/ Serikali ya Mali yazuia jaribio la mapinduzi/ Biden aridhia uwepo wa wanajeshi wa Marekani Somalia/ Mzozo wa Ukraine