Blinken ameiomba Israel itoe maelezo na ushahidi wa kuhalalisha mashambulizi iliyoyafanya dhidi ya jengo la ofisi za mashirika ya habari ya kimataifa katika Ukanda wa Gaza/ Viongozi Kenya watoa hisia kuhusu rufaa ya BBI/ Rais wa Tanzania amepokea taarifa ya kamati aliyounda kutathmini hali ya ugonjwa wa Covid-19/ Kesi ya ufisadi dhidi ya Zuma yaahirishwa