Raia wa Burundi wamepiga kura leo katika zoezi la kura ya maoni juu ya marekebisho ya katiba// Viongozi wa Umoja wa Ulaya na wenzao kutoka nchi za magharibi mwa Balkan wamezisifu hatua mpya za ushirikiano na ukanda huo wakati walipokutana katika mji mkuu wa Bulgaria wa Sofia// Waziri wa utalii wa Israeli Yariv Levin amewataka raia wa Israel wasisafiri kwenda Uturuki.