Viongozi wa kijeshi wa Sudan wamemhamishia rais aliyepinduliwa Omar al-Bashir katika jela ya Kober ya mji mkuu Khartoum// Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Libya Ghassan Salame leo ametaka kusitishwa kwa mashambulizi yanayofanywa katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli// Sheria ya uchaguzi utakao fanyika Burundi mwaka ujao wa 2020 imeidhinishwa na bunge la nchi hiyo jioni hii.