1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.02.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S17 Februari 2021

Rwanda: Kesi ya ugaidi dhidi ya Rusesabagina inaanza kusikilizwa leo/ Imetimia miaka 10 tangu kutokea wimbi la maandamano lililofuatiwa na mapinduzi yaliomng'oa madarakani kiongozi wa muda mrefu kanali Gaddafi nchini Libya/ Ngozi Okonjo-Iweala ameteuliwa kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya mkuu wa shirika la biashara la kimataifa WTO/ Burkina Faso: Watu milioni moja kuyakimbia makaazi yao

https://p.dw.com/p/3pStX