Rais wa Msumbiji ameapa kuwa nchi hiyo itawashinda wapiganaji wa makundi ya itikadi kali/ Wanaharakati wa Uganda waikosoa Google/ Kenya: Mchakato wa kumfukuza kazi Gavana wa kaunti ya Nairobi umeanza rasmi katika baraza la Senate/Nchi za Ulaya zaimarisha vizuizi kukabiliana na maambukizi ya corona/ Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesisitiza umuhimu wa kuondolewa kwa wapiganaji kutoka Libya