Nchini Uingereza kumekuwa na vuta nikuvute ya jaribio la kujenga ushawishi bungeni wa makubaliano ya kujitoa kwa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya, mchakato unaojulikana kama Brexit// Asasi za kiraia pamoja na wanasiasa nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo wameazimia kudumisha amani wakati na hata pia baada ya uchaguzi mkuu mwezi ujao.