1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.11.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S16 Novemba 2017

Raia nchini Zimbabwe leo hii wameanza kuangazia mustakabali wa taifa hilo bila ya kiongozi wao aliyekaa madarakani kwa takriban miongo minne// Nchini Ujerumani,vyama vya CDU, CSU, FDP na kile cha Kijana Die Grüne leo wamo katika hatua ya mwisho ya kutafuta msimamo wa pamoja kuhusu kuunda serikali ya muungano.

https://p.dw.com/p/2nlQZ