Kansela Angela Merkel aapa Ujerumani kuendeleza mahusiano na Uturuki // Serikali ya Myanmar yalaumu uingiliaji wa nje baada ya kiongozi wake kutoalikwa kwenye mkutano wa kilele wa kundi la ASEAN // Na Serikali ya Taliban nchini Afghanistan yaahidi kuimarisha usalama kwenye misikiti ya madhehebu ya Shia