Ripoti mpya ya Benki ya Dunia inaonesha kuwa ukuaji wa uchumi miongoni mwa mataifa ya Afrika kusini mwa Sahara umepungua kwa kiwango kikubwa mwaka huu//Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini kenya, EACC kwa ushirikiano na shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na uhalifu na dawa za kulevya, UNODC wanatoa mafunzo kwa maafisa