Johnson na Junker wameshindwa kufikia makubaliano yoyote kuhusu mpango wa Uingereza kujitowa katika Umoja wa Ulaya/ Erdogan amewakaribisha wenzake wa Iran na Urusi katika mkutano wao wa kujadili mgogoro wa Syria/ Mawaziri wa mambo ya nje wa Rwanda na Uganda wakutana Kigali/ Hali ya kisiasa nchini Kenya