Safari za ndege zafungwa Afghanistan/ Mataifa yatolea kauli hali ya Afghanistan/ Hakainde Hichilema ashinda uchaguzi wa rais Zambia/ Jeshi la Congo limefanikiwa kuthibiti vijiji kadhaa vya wilaya ya Fizi vilivyokuwa chini ya waasi wa Twirwaneho na Gumino/ Uganda: Matamshi ya Museveni ya kuvishutumu vitendo vya mateso vinavyofanywa na vyombo mbalimbali vya usalama yamepolekewa kwa maoni mseto