Tanzania - Bernard Membe leo ametambulishwa rasmi ndani ya chama cha upinzani cha ACT-Wazalendo jijini Dar es Salaam// Mahakama ya Afrika yaruhusu kupingwa matokeo ya urais Tanzania// Waziri Mkuu wa Tunisia, Elyes Fakhfakh amejiuzulu hapo jana takriban miezi mitano baada ya kuchukua uongozi// Akaunti kadhaa za mtandao wa Twitter za viongozi mashuhuri ulimwenguni zimekumbwa na tukio la udukuzio.