Rais Emmanuel Macron ameahidi kulijenga upya kanisa kuu katoliki la Notre Dame mjini Paris ambalo jana jioni lilishika moto ulio unguza sehemu ya jengo// Harakati za maandamano bado zinaendelea nchini Sudan leo ikiwa ni siku ya 11 ya waandamanaji kupiga kambi nje ya makao makuu ya jeshi wakilishinikiza jeshi kukabidhi madaraka kwa utawala wa kiraia.