1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.03.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S16 Machi 2017

Ahmad Ahmad wa Madagascar amechaguliwa leo kuwa rais wa Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) kwa kumng'oa kiongozi mkongwe Issa Hayatou baada ya kuwa madarakani kwa miaka 29// Watu watatu wametiwa mbaroni kuhusiana na ghasia zilizozuka upya katika kaunti ya Baringo eneo la Bonde la Ufa nchini Kenya.

https://p.dw.com/p/2ZL7y