Libya imegawika tangu maandamano ya kutaka mageuzi yaliomuondoa madarakani dikteta Gadhafi/ Yemen: Licha ya shinikizo za Biden kuvimaliza vita, bado mchakato wa kuelekea kupatikana kwa amani ni mgumu/ Idadi inayoongezeka ya wanawake barani Afrika wanatumia huduma za uzazi wa mpango. Lakini viwango vya uzazi bado viko juu/ Mataifa ya Afrika magharibi yanashuhudia kuzuka tena kwa homa ya Ebola