1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.02.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S16 Februari 2021

Libya imegawika tangu maandamano ya kutaka mageuzi yaliomuondoa madarakani dikteta Gadhafi/ Yemen: Licha ya shinikizo za Biden kuvimaliza vita, bado mchakato wa kuelekea kupatikana kwa amani ni mgumu/ Idadi inayoongezeka ya wanawake barani Afrika wanatumia huduma za uzazi wa mpango. Lakini viwango vya uzazi bado viko juu/ Mataifa ya Afrika magharibi yanashuhudia kuzuka tena kwa homa ya Ebola

https://p.dw.com/p/3pPc9