Wakenya kutoka matabaka mbalimbali wameelezea kufadhaika kwao kufuatia shambulizi lililotokea katika Hoteli ya kifahari ya Dusit jini Nairobi//Mshambuliaji mmoja wa kujitoa mhanga amewashambulia askari wa kigeni waliokuwa wanapiga doria ya kijeshi katika mji wa kaskazini mwa Syria wa Manbij