Obasanjo aonya kuhusu mazungumzo Ethiopia/ Johnson: Makubaliano ya COP26 ni ya kihistoria/ Congo: Watu 5 waliuawa Mikenge na 7 kujeruhiwa vibaya. Makundi ya wanamgambo wenye silaha yanadaiwa kuhusika na mauaji/ Wanajeshi 2 wa Uganda wahukumiwa kifo kwa kuua raia Somalia