Maandamano ya upinzani nchini Congo yatawanywa na polisi/ Hali ya demokrasia ikoje katika mataifa ya Afrika Mashariki? / Umoja wa Falme za kiarabu UAE, Morocco na Bahrain zinaadhimisha mwaka mmoja tangu kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel, chini ya mkataba wa Abraham / Wakenya wanazidi kulalamikia bei ghali ya mafuta huku gharama ya maisha ikiwa juu