Saudi Arabia imesitisha kwa muda uchimbaji mafuta katika vituo viwili ambavyo vimeshambuliwa. // Raia wa Tunisia kufanya duru ya kwanza ya uchaguzi huru wa rais leo. //Viongozi wa nchi za Afrika magharibi, wameahidi kutenga dola bilioni moja kupambana na tishio la kuongezeka kwa waanamgambo wa misimamo mikali ya dini.