Watu wapatao 22 wamejeruhiwa kutokana na mlipuko uliotokea kwenye kituo cha treni cha chini ya ardhi cha Parsons Green katika mjini London// Korea Kaskazini imefanya jaribio lingine la kombora lililopita kaskazini mwa Japan kabla ya kutua katika bahari ya Pacific, na kusababisha ukosoaji kutoka mataifa ya kanda hiyo.