Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Dokta Hussein Ali Mwinyi leo amepokelewa kwa shangwe visiwani humo// Qatar imeibuka na ushindi katika mvutano wa kisheria, katika juhudi zake za kumaliza mzozo wa muda mrefu wa kufungiwa anga na majirani zake wa Kiarabu// India na Umoja wa Ulaya zitajadili njia za kuongeza ushirikiano wa kiuchumi.