Jeshi la polisi nchini Tanzania limeonya kuwa litawasaka wale wanaodaiwa kuchochea uvunjivu wa amani katika eneo la Loliondo+++Vyama viwili vya upinzani visiwani Zanzibar vimetoa tamko la kukemea tukio la kupigwa na kuumizwa kwa kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM Baraka Shamte+++Mawaziri wa ulinzi wa NATO wajadili mzozo wa Ukraine +++Mkutano wa WTO warefushwa ili kufikia maelewano.