Rais wa Tanzania amehitimisha ziara mkoani Mwanza kwa kuzungumza na vijana/ COVID-19 nchini Uganda: Kuna madai kuwa askari wameanza kukiuka haki za binaadamu/ Mazungumzo baina ya Biden na viongozi wakuu wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels/ ICC: Mahojiano kuhusu tathmini ya mchango wa Fatou Bensouda na changamoto zinazomsubiri Karim Khan/Euro 2020: Ujerumani dhidi ya Ufaransa