1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.05.2018 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S15 Mei 2018

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linaendelea na mkutano wa dharura kujadili mgogoro wa Gaza// Kongamano la siku moja kuhusu uwekezaji na biashara katika mataifa ya Afrika Mashariki limefanyika leo katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin// Nchini Burundi imeundwa tume ya uchunguzi kuhusu mauwaji ya watu 26 katika mkoa wa Ruhagarika.

https://p.dw.com/p/2xlgN