Nchi za NATO zakubaliana kuondoka Afghanistan// DR Congo- Wanawake wa wilaya ya Shabunda katika mkoa wa Kivu kusini wanatoa malalamiko kuhusu ongezeko la hali ya ubakaji na ukosefu wa usalama kwa ujumla// Vyombo vya usalama nchini Rwanda vimetangaza kuwakamata watu 66 ndani ya juma moja lililopita wakati nchi hiyo ilipokuwa kwenye kipindi cha maombolezo ya mauaji ya kimbari.