Matokeo ya awali ya Uchaguzi wa rais uliofanyika jana nchini Uganda yameanza kutolewa usiku wa kuamkia leo na rais Yoweri Museveni anaongoza// Janga la COVID-19 sio tu limepunguza umakini wa vyombo vya habari kuanzia mizozo ya kibinadamu ulimwenguni, lakini pia imeifanya hali kuwa mbaya zaidi// Mashirika kadhaa ulimwenguni yanaendelea kukata uhusiano na rais wa Marekani Donald Trump.