1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.03.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S15 Machi 2021

Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria vimetimiza miaka 10 hivi leo/ Rais Museveni wa Uganda amepinga kauli za baadhi ya raia wake kwamba taifa hilo lilipize kisasi dhidi ya Kenya kwa kuzuia bidhaa zake kuingizwa kwao/ Vikosi vya usalama Myanmar vyaendeleza matumizi ya nguvu/ Chama cha Christian Democratic Union chapata pigo chaguzi za majimbo/ DRC imeahirisha chanjo dhidi ya Covid-19

https://p.dw.com/p/3qe6k