Putin aamrisha jeshi lake liondoke Syria// Ugiriki: Mamia ya wahamiaji wameondoka katika kambi ya muda na kuingia Macedonia baada ya kukwepa uzio wa mpakani uliowekwa kuwazuwiya// Bunge la Myanmar limemchagua Htin Kyaw kuwa rais mpya wa nchi hiyo // Matokeo ya watu waliopigwa na kuteswa vibaya katika visiwa vya Zanzibar yanasemekana kupamba moto wakati uchaguzi wa marudio ukikaribia kufanyika