Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya, anasema anataraji "aina fulani ya maridhiano ya kimataifa" yatapatikana katika mkutano wa Berlin ili kuiongoza Libya katika njia ya amani/ Ukraine: Ujerumani itusaidie kupata haki kwa waathiriwa wa mkasa wa ndege / Waziri mkuu wa Urusi ajiuzulu/ Nchini Msumbiji Phillipe Nyusi ameapishwa kuanza kipindi chake cha pili madarakani kama rais wa nchi hiyo