Mahakama ya Katiba DRC yaanza kusikiliza rufaa ya kupinga matokeo / Congo: Wagombea kadhaa katika wilaya ya Uvira wanadai tume ya uchaguzi ihesabu upya kura zao/ Bunge la Uingereza lafanya kura ya Brexit/ Uturuki kuendelea kuwashambulia YPG licha ya onyo la Trump/ Magazetini: Kura ya Brexit kuamua hatimaya Uingereza na EU