Watanzania leo wanaadhimisha kumbukumbu ya miaka 17 tangu kufariki kwa muasisi na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere// Syria-Mashambulizi mapya zaidi yameendelea kufanywa katika mji wa Aleppo// Marekani-Kampeni za kinyang’anyiro cha kuingia Ikulu ya White House zinaendelea kupamba moto// Thailand- Maombolezi ya kitaifa ya mfalme Bhumibol Adulyadej.