1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.09.2019: Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S14 Septemba 2019

Tunisia kuandaa uchaguzi wa Urais Jumapili. //Walimu nchini Kenya wapinga vikali agizo la kuwashinikiza kuwa na shahada ya uzamili kabla ya kuomba nafasi za kuwa walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari.// Habari za baraza la mawaziri Uganda kuidhinisha kubuniwa kwa baraza la kitaifa la Kiswahili zapokelewa kwa maoni mbalimbali na wananchi nchini humo.

https://p.dw.com/p/3Pb4v