Chama kikuu cha upinzani nchini tanzania chadema kimeipa serikali siku tano za kufanya uchunguzi wa tukio la kuchomwa kwa ofisi zake za kanda ya kaskazini// Uturuki na Iran zimeukosoa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE kutokana na hatua yake ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia na Israel