Kambi ya jeshi la serikali imehujumiwa kwa risasi na bomu lililotegwa ndani ya gari kusini mwa Somalia// Chama cha upinzani cha CNDD cha nchini Burundi kimetishia kususia uchaguzi ujao nchini humo// Viongozi wa dini ya kiisilamu katika kaunti ya Mombasa, Kenya wanapinga mipango ya serikali ya kutaka makasha ya mizigo inayoingia katika bandari ya Mombasa kubebwa na kusafiriswha kupitia reli.