Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Wachambuzi wanaonya kuwa Burundi inakumbwa na aina tofauti ya vurugu// Rwanda imesema itahitaji maelezo zaidi kutoka kwa Uingereza baada ya kuachiwa huru kwa mkuu wake wa idara ya Ujasusi Luteni Generali Karake Karenzi// Hatua ya China ya kuishusha thamani ya sarafu yake ya Yuan mara mbili mfululizo imesababisha misukosuko kwenye masoko ya hisa duniani kote