1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.06.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S14 Juni 2021

Tanzania: Rais Samia Suluhu aendelea na ziara yake Mwanza/ Sheikh Mkuu wa Tanzania ametaka mamlaka nchini humo kutenda haki ili masheikh wa kundi la uamsho wanaoendelea kushikiliwa gerezani kujua hatma yao/ Congo: Mapambano baina ya jeshi la serikali na waasi wa kundi la CODECO/ Mkutano wa kilele wa NATO waishupalia China/ Kongamano la vyombo vya habari la DW kuangazia usumbufu na ubunifu

https://p.dw.com/p/3utmu