Wataalam na wanasayansi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa wanaonya kwamba maisha ya binadamu na viumbe vyote kwa jumla huenda yakawa katika hatari ya kuangamia //Bunge la Uingereza linajiandaa kupiga kura leo kuamua kuhusu iwapo nchi hiyo inaweza kuongezewa muda wa mchakato wa kujitoa kwenye Umoja wa ulaya